Meal Seç / Sure Seç

AL - FIIL Suresi

(SWAHILI) QURAN


105 - AL - FIIL
KWA JINA LA MWENYEZI MUNGU MWINGI WA REHEMA MWENYE KUREHEMU.
        
1. Kwani hukuona jinsi Mola wako Mlezi alivyo watenda wale wenye tembo?
2. Kwani hakujaalia vitimbi vyao kuharibika?
3. Na akawapelekea ndege makundi kwa makundi,
4. Wakiwatupia mawe ya udongo wa Motoni,
5. Akawafanya kama majani yaliyo liwa!
KURAN uygulamasını telefonunuza siz de yükleyin: