Meal Seç / Sure Seç

ANNAS'R Suresi

(SWAHILI) QURAN


110 - ANNAS'R
KWA JINA LA MWENYEZI MUNGU MWINGI WA REHEMA MWENYE KUREHEMU.
        
1. Itakapo kuja nusura ya Mwenyezi Mungu na ushindi,
2. Na ukaona watu wanaingia katika Dini ya Mwenyezi Mungu kwa makundi,
3. Zitakase sifa za Mola wako Mlezi, na umwombe msamaha; hakika Yeye ndiye anaye pokea toba.
KURAN uygulamasını telefonunuza siz de yükleyin: